| Mwenyekiti wa chama chama cha mapinduzi CCM Singida mjini Bi Lucy Andara na naibu meya Yagi Kyaratu wakiongoza usafi katika Hospitali ya Sokoine. |
| Mh Kisuke diwani wa kata ya misuna akiongoza madiwani na viongozi mabali mbali wa chama na serikali katika usafi huo. |
| Baada ya kufanya usafi huo pia walitembelea wagonjwa na kutoa misaada katika wodi ya wazazi . |
![]() |
| Mashine ya kisasa ya kuongeza oxigen wakati wa oporation. |




0 Comments