Jiwe la msingi likiwa tayali kwa kiongozi wa mwenge 2017 Bw Amour Hamad Amour kutoka Kaskazini Unguja kuzindua june 30, Hivi ndivyo inavyoonekana sasa ikiwayamebaki masaa machache.
|
| Vibanda vya kupumzikia abiria. |
| Maliwato ya ndani ya stendi hiyo. |
| Barabara ya Dr Salimini Amour inayoelekea stend ndogo. |
| Barabara ya kuingia makutano ya barabara ya Arusha na Dr Salimin inayoingia Stend kuu. |
| Geti la kuingilia mabasi yaendayo mikoani na ndani ya mkoa. |
| Geti kubwa la kuingilia abiria na magari. |
| Geti la pembeni litakalo tumika kwa magali na bajaji baada ya kushusha abiria. |
| Geti lakutokea kuelekea kwenye kituo cha ukaguzi. |
| Kituo cha Polisi kwaajili ya ukaguzi wa mabasi yaendayo mikoani. |



0 Comments