| Mkurugenzi wa Stanadar Radio 90.1 Bw James Daudi akiongea na mashabiki lukuki waliyo fulika katika dimba la Namfau kushuhudia fainali ya kihistoria . |
![]() |
| Mdau mkubwa wa soka na Mkurugenzi wa Razak Fashio Singida Bw Hassan Mazara mgeni mwalikwa katika Fainali hiyo . |
| Mkurugenzi Bw James Daudi akipongezwa na mgeni rasimi Staff one afande Pughe baada ya kuaongea na adhala . |
![]() |
| Kaimu katibu wa chama cha soka mkoa wa Singida Bw James Kitila akiongea machache juu ya mashindano hayo. |
| Mkurugenzi wa Standard fm Bw James Daudi akiongea na timu zote baada ya kuzikagua kabla ya mchezo. |
| Saulo Stephen sport dr na Emanuel mlelekwa katika chumba cha matangazo live Namfua. |
| Wazee wa Standi Misuna Fc wakitazama mtanange huo jukwaani. |
| Waamuzi wa mchezo huo Salaa Bongi akiwaongoza waamuzi wasaidizi. |
| Washidi wa pili timu ya Ghalinyangu fc kutoka wilaya ya Singida wakipita mbele ya meza kuu. |
| Ghalunyangu Fc wakipozzi kwa picha |
| Capten wa Ghalunyangu akipokea mipira kutoka kwa mgeni Rasimi staff Pughi. |
| mabingwa wa ligi hiyo Mangua fc baada ya ushidi wa bao 3-2 wakipokea Jezi,mipira na kombe |






0 Comments