| Keki Mbili maalum kwaajili ya miaka 6 ya Standard Radio fm sambamba na siku ya kuzaliwa Mkurugenzi wa Standard Bw James Daudi. |
| Mkurugenzi wa Radio Standard Fm Bw James Daudi akionea na wageni waalikwa mbele ya mgeni rasimi mkuu wa wilaya ya Iramba. |
| Mkurunge wa Standard Radio akimkaribisha mgeni Rasimi Mkuu wa wilaya ya Iramba Emmanuel Luhaula . |
| Mkuu wa wilaya ya Iramba Emmanuel Luhaula akiongea na waalikwa katika hafla fupi ya maadhimisho hayo ya miaka sita ya Standard fm 90.1 Singida |
| Katibu tawala wilaya ya Singida Wilson Shimo alipata fusla ya kuongea na kutoa maoni yake kwa uongozi wa Standard fm. |
| Kurugenzi wa KBH HOTEL Bw Katala akilishwa keki maaalum . |
| MR&MR James Jaffet Daudi wakila keki ya siku ya kuzaliwa na miala 6 ya Radio Standadar Fm. |
| Immani Musigwa Meneja wa Radio akilishwa keki na mkurugenzi wake. |
| Moja wa mtoto aliyezaliwa siku hiyo James Gwagilo akimlisha mtoto mwenzake. |
| Wakwanza kushoto ni Teddy Mande,Man Polta watangazaji wa kipindi cha regge vibe kila jumapili wakibadilishana mawazo huku Tizzo na Dj Dotto katika moja na mbili. |
| Producer na Move Director Denlove akifaya yake katika camera. |
| Mama P mwigizaji nguli wa Filamu mkoani Singida akionyesha taaluma yake. |



0 Comments