Mama Rebeka Azaeli akifurahia Jiko Banifu linalotumia kuni chache na mapishi ya haraka bila macho kuwamekundu kwasababu moshi wote unatoka nje ya jiko.
|
| Eneo moshi unapotokea nje ya jiko. |
| Patrick Lameck Mbanguka Mratibu na mwalimu kutoka shirika la INADES lenye makaomakuu mjini Dodoma (0754043780) |
Mkuuwa wilaya ya Singida Elias Tarimo akipata maelezo juu ya matumizi ya jiko hilo BANIFU baada ya kujionea namna linavyo saidia kinamama kutokuwa na machomekundu.
|



0 Comments