| Maarusi wakiwasili kanisa la KKKT dayosisi ya kati usaharika wa Emmanuel mjini Singida |
| watoto na wanafamilia ya Bw Damiani mkumbo na Juliana Isaya |
| Maarusi waliyodumu miaka 50 Bw Damiani na Bi Juliana kwamadaha wakikumbuka siku ya harusi yao 1966 |
| Baada ya kuwasili wakipokelewa na Mchungaji Naonawelu Shumbi wa kanisa la KKKT (msalaba mlefu) Singida mjini kabla ya ibada. |
| masafala wa kuingia kanisani kwenye ibada |
| mchungaji Naonawelu Shumbi neno la siku hiyo lilikuwa ni Zab.147 (3)(11) |
| Ikafiaka wakati wa kutoa ushuuda wa kila mmoja wao hapo mzee mkumbo akielezea sinto sahau yake. |
| picha ya kumbukumbu baada ya ibada |
| watoto wao wakitafakali jambo baada ya ibada kumalizika. |



0 Comments