MANJI AKABIDHI UWANJA YANGA






Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameonekana “hataki mchezo” baada ya kukabidhi hati kabla ya kuanza ujenzi wa mazoezi wa kikosi cha Yanga.

Uwanja huo wenye ekari 715 uko katika eneo la Gezaulole jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba alikuwepo katika hafla hiyo fupi.

Wakati Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Yanga, Mama Karume pia alikuwa kati ya waliohudhuria shughuli hiyo akiambatana na mjumbe wa bodi hiyo, jabir Katundu.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments