KONGAMANO LA WATUMA SALAMU MKOA WA SINGIDA NA MATUKIO YAKE

kabla ya mchezo wa kirafiki na staff wa Standard radio walitoa msaada wa mashuka katika Hospitali ya mkoa wa singida .

Mh Diwani wa kata ya Utemini na M/kiti wa chama cha soka mkoa wa Singida (SIREFA) Mr kimario  akitoa maoni yake na ushauri kwa umoja wa watuma salamu mkoa ndani ya Hospitali ya mkoa.


Mganga mfawidhi mkoa wa Singida akizungumza na m/kiti na katibu wa umoja wa wanasalamu Shaban .r.mwani na Haruna kijanga.

Wanahabari nao wakisikiliza mazungumzo Liliani munisi na Revocatus phinias wa Standard fm.

Mganga mfawidhi Dr Ramadhani kabala akipokea msaada wa mashuka kwaajili ya wodi 6A
         wodi ya wazazi.




Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments