| Mkuu wa mkoa wa Singida Dr Rehema Nchimbi akihutubia katika uzinduzi wa COPA COCA COLA kitaifa mjini Singida yaliyofanyika katika uwanja wa Namfua. |
| Mkuu wa wilaya ya Singida Bw Elias Tarimo akitoa neno kabla ya mgeni rasimi kuongea . |
| Timu ya wanawake ya sekondari ya Dr Salimini ya mjini Singida |
| Timu ya wanawake ya shule yasekondary Mandewa. |
| Dr Nchimbi Akizindua mashindano hayo ya Shule za sekondary UMISETA COPACOCA COLA kwa kupiga mkwaju wa penati. |
| Mdhamini mkuu wa mashindano hayo COCACOLA wakimkabidhi zawadi ya mpira mgeni rasimi Mkuu wa mkoa Dr Rehema Nchimbi. |



0 Comments