MATUKIO KATIKA MCHEZO WA LIGI DARAJA LA KWANZA


Dc Tarimo akiwasili uwanjani na msaidizi wake.





Mgeni rasimi wa mchezo huo mkuu wa wilaya ya Singida Dc Tarimo akiongozana na DC wa Ikungi Mh Miraji wakati wa kukagua timu kabla ya mchezo.



Singida united

Panone fc ya Kilimanjaro


kocha msaidizi wa singida united Jumanne charles akiongea na Nizar kharfani captain pembeni  ni dk wa timu akitoa huduma ya maji kwa Boaz.

waandishi wa habari kutoka Kilimanjaro na Singida wakiongea na mkurugenzi wa GSS na Singida united Bw yusuf mwandami ( jezi nyeupe) .

Cales katemana (shot pence) akiongea na mwamuzi na mwenyekiti wa FLAT manispaa na mwamuzi wa ligi kuu ya vodacom Arnord bugado baada ya mchezo wa ligi daraja la kwanza.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments