TERRY AANZA MAZOEZI MAALUMU






Terry amekuwa majeruhi na kuifanya safu ya ulinzi ya Chelsea kukosa mzoefu.Sasa anapewa mazoezi maalum, ili awe fiti na kuwavaa vijana wa Arsenal Wenger.

Chelsea itakuwa dimbani kuwavaa Arsenal na italazimika kufanya vizuri baada ya kupoteza mechi iliyopita kwa kufungwa na Liverpool.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments