MAANDALIZI YA KIKAO CHA ALAT YAKAMILIKA MUSOMA



ZAIDI ya wajumbe 500 kutoka nchi nzima pamoja na wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya 
nchi,kesho wanatarajiwa kuhudhuria uzinduzi wa mkutano mkuu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania(ALAT) utakaofanyika kwa siku 3 katika ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoriki mjini Musoma ambapo hadi sasa asilimia kubwa ya wajumbe wa mkutano huo uliodhaminiwa na benki ya NMB wameshafika mjini Musoma kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa ALAT taifa,Stephene Mhapa

vitambulisho maalumu vikiwekwa tayali kwa kikao hicho cha ALAT

Maonyesho mbalimabali yatafanyika mjini musoma.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments