MKUTANO WA WADAU WA UTAFITI WAFANYIKA SINGIDA NA KUBAINI





Kikao cha utafiti kilichofanywa kwa kushirikiana ofisi ya taifa ya Takwimu ,Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii ,jinsia,wazee na watoto TACAIDS,na shirika la ICAP Tanzania.
Jumla ya kaya 16000 zenye watu wazima 40.000 na watoto 8000 zimechaguliwa nchi nzima kwa mkoa wa Singida , maeneoa saba (70 yamechaguliwa kwa ajili ya utafiti huu hivyo tunategemea kaya 210 zitafanyiwa utafiti, kwa maana ya kaya 30 zimechaguliwa kwa kila eneo.
 
1.   Mpazu kijiji cha kisana Wilaya ya Iramba
2.   Kidogwi kijiji cha Nkungi Wilaya Mkalama
3.   Kiyero kijiji cha maghoha Halimashauri ya Singida
4.   Mwanchichi  na Darajani kijiji cha Mwankoko A
5.   Kilambida mtaa wa kindai Singida Manispaa
6.   Ikhakhamo kijiji cha Misake Wilaya ya Ikungi
7.   Mtakuja kijiji cha sanza Wilaya ya Manyoni.

Utafiti huo utaisaidia serikali katika kupanga na kusimamia utekelezaji  wa sera Ya Afya nchini hususani upatikanaji huduma za Afya.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments