WAANDISHI WA HABARI ZINGATIENI MAADILI YA UANDISHI WA HABARI.


Aliyekuwa kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida Stella Mutabihirwa ametoa wito kwa waandishi wa habari kufanya Kazi zao kwa kuzingatia maadili ya tasnia hiyo kwa maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla.

Mutabihirwa ameyasema hayo katika ofisi ya jeshi la polisi Singida wakati akikabidhiwa cheti cha shukrani kwa ushirikiano na klabu ya waandishi wa habari mkoani hapa Singpress.

Akikabidhiwa cheti hicho na Mwenyekiti wa Singpress Elisante John, Mutabihirwa alisema ni vizuri waandishi wakaandika habari kwa kufuwata vigezo husika ili kuondoka sintofahamu kwa wasomaji.


Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments