Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Ikungi Bw Justice Kijazi akitoa neno la ukaribisho kwa wageni waalikwa katika mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Ikungi mkoani Singida.
Mgeni rasimi katika kikao hicho ambaye ni mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe, Edward mpogolo akifungua kikao kazi cha kipindi cha pili cha mradi wa TASAF chennye lengo la kuwaongezea uelewa viongozi mbali mbali kutoka ngazi ya kata wakiwemo madiwani wa Halmashauli,mafunzo hayo ya nadhalia na vitendo yatafanyika kwa siku Tano huku yakitembelea baadhi ya kata za wilaya hiyo ya Ikungi.
Bi Nuru Mkomambo Afisa ufuatiliaji wa miradi ya TASAF nchini akitoa elimu kwa washiri wa mafunzo.
Wadau wakichangia mada katika kikao hicho baada ya kupata maelezo mafupi kutoka kwa mwezeshaji.
Bw Msungu mdana Katibu wa TASAF Halmashauri ya wilaya ya Ikungi.



0 Comments