SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMEENDELEA KUTOA FEDHA KWAAJIRI YA KAYA MASIKINI.

Singida


Imeelezwa kuwa Serikali imtoa fedha nyingi katika mpango wa kunusuru kaya masiki Tasafu katika halamsahuri ya manispaa ya Singida.


Kauli hiyo imetolewa na naibu waziri ofisi ya rais utumishi na utawala bora dkt merry mwajerwa wakati akiongea na wanufaika wa mpango wa tasaf katika kata ya mtipa manispaa ya singida.

Amesema Zaidi ya bilioni mbili imeletwa kwa walengo pamoja na Zaidi ya milioni 137 zimetumika katika mradi wa timiza malengo uliopo ndani ya mpango huo wa TASAFU

Nae mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini mkoa wa singida bw Patrick Kasango ametoa ufafanuzi tangu kuanza kwa mradi huo na idadai ya wanufaika waliopo hadi hivi sasa.

Aidha diwani wa kata ya mtipa Mhe   na wanufaika wa tasaf wamezungumza na standard radio kuhusu mpango huo huku wakimpongeza Rais John pombe mgufuli kwa kuendelea kuwajali wanyonge.
Dkt Mary Mwanjelwa Naibu waziri ofisi ya raisi utumishi na menejimenti na utawala bora akiongea na wanufaika wa mpago wa kunusuru kaya masikini katika kata ya Mtipa manispaa ya Singida kulia ni Mkurugenzi wa manispaa ya Singida Bw Bravo Kizito Lyampimbile kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida Bw Pascas Muragili.

 
 
Wananchi wakimsikiliza naibu wairi .



Diwani wa kata ya mtipa Mhe Ramadhani Saidi yusuf akionge na wanahabari baada ya naibu waziri kumtembelea mnufaika wa mpango wa TASAF katika kata hiyo.

Mnufaika wa mpango huo akimuonesha waziri Dkt Mwanjelwa mifugo aliyonunua kupitia fedha hizo za TASAF.


Naibu waziri Dkt Mwanjelwa akimpatia mtoto wa mnufaika wa mpango huo kiasi cha 20,000 kwaajiri ya vifaa vya shule.

Mratibu wa TASAF mkoa wa Singida Bw Patrick kasango akifafanua jambo juu ya mpago huo.






Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments