SENEGAL VS JAPANI BAADA YA SARE TASA NANI KUSONGA MBELE






Timu za Senegal na Japan zimegawana pointi baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 huku sare hiyo ikiziweka kwenye matumaini ya kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kufikisha pointi nne kila moja.


Senegal na Japan ili kuwa na uhakika wa kufuzu hatua ya 16 bora inabidi kila moja ishinde au zitoke sare katika mchezo wa mwisho huku Colombia ikihitaji ushindi baada ya kuitupa nje polanda kwa bao 3-0 katika mchezo wa pili usiku wa jumapili.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments