| Mkuu wa wilaya ya Singida Bw Elia Tarimo |
Mkuu wa wila ya Singida bw, Elias John Tarmo
amewaomba wananchi kuhakikisha wanapanda miti ya aina mbalimbali ilikuweza
kuhifadhi maziri kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla .
Amesema hayo wakati akiongea na standard redio
kuhusu kuhamashiasha kampeni ya kuufana mkoa wa Singida kuwa wa kijani kwa
kupanda miti ya aina mbalimbali katika halmashauri zote za mkoa wa Singida.
Bw, Tarmo amesema kampeni hii ya kuufanya mkoa
wa singida kuwa wa kijani imekuja kwa wakati muafaka kawani hali ya misitu ni
mbaya baada ya wananchi kuanza kuhalibu misitu.
Amesemea miti inaumuhimu mkubwa katika jamii
hasa katika kipindi kipi tunapoelekea nchi ya viwanda na uchumi wakati.
Akitika hatua nyingine bw, Tarmo ameitaka
kampeni hii ya kuufanya mkoa wa Singida kuwa wa kijani kuwa endelevu katika
maeneo mbalimbali.



0 Comments