SUWASA INA WATEJA 10,720 KATIKA MANISPAA YA SINGIDA TU


Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Suwasa mkoani Singida inajumla ya wateja wa maji 10,720 katika manispaa ya Singida ambao kati yao wateja walio hai ni 8,466.

Takwimu hizo zimetolewa na mkurugenzi wa mamlaka hiyo Mhandis,Patrick Nzamba wakatia akitoa maelezo mafupi katika siku ya maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza jana tarehe 16 mwezi March na inataria kufikia kilelen march,22 mwaka huu.

Mhandis Nzamba amesema wanaendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza ilikuunganishiwa maji huku akitoa wito kwa wateja wote kuzingatia kulipa Ankara za maji kwa muda muafaka.

Aidha amewaomba wateja wenyemita kuwa waaminifu kwa kutokwepesha maji yasipite kwenye mina ta kuongeza kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa yeyote atakaye baini kufanya kosa hilo.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments