MWONEKANO WA SOKO LAKIMATAIFA LA VITUNGUU SINGID

Pamoja na Manispaa ya Singida kuendelea kukusanya mapato katika soko hilo la vitunguu  hali bado tete kwa wakulima  wanaoleta Vitunguu kutoka shambani kwani mvua zinazoendelea kunyesha zimekuwa ni tatizo kubwa katika soko hili la Misuna .
Hakuna sehemu ya kuifadhia vitunguu vinavyoletwa na kununuliwa na wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi pamoja na mkuu wa mkoa wa Singida Dr Rehema Nchimbi kutembelea na kuagiza manispaa kujenga vichanja maalimu vya kuwekea magunia ili vitunguu visipate maji.
Kina mama wakichambua vitunguu vilivyo halibika kwa kunyeshewa na mvua.













Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments