 |
| Mkurugenzi wa Standard Fm Mr James Daudi (kulia) akibalishana mawazo na katibu wa mkuu wa mkoa kabla ya kuingia ukumbini. |
 |
| Bw Jamse Daudi Mkurugenzi wa Standard Fm akitoa ufafanuzi juu ya upanuzi wa masafa ya Radio kwa mkuu wa mkoa wa Singida Dr Rehema Nchimbi wakati wa kukakua mabanda kabla ya kuingia ukumbini. |
 |
| Mkurugenzi wa kituo cha Radio Standard Fm Singida Bw James Daudi akimkaribisha mgeni rasimi mkuu wa mkoa wa Singida Dr Rehema Nchimbi katika kongamano la MWANAMKE WA NGUVU lillilo ratibiwa na radio hiyo . |
 |
| Stella Ngenje mtangazaji wa kipindi cha zinduka akiongea juu ya wasifu wa mwanamke mbele ya mgeni rasimi mkuu wa mkoa wa Singida . |
 |
| Mgeni rasimi mkuu wa mkoa wa Singida Dr Rehema Nchimbi akiongea na wakina mama waliyoudhulia katika kongamano hilo. |
 |
| Mama mjasiliamali akielezea namna anavyojishugulisha na shuguli za ujasiliamali na kupata mafanikio kupitia vikundi mbalimbali vya vicoba. |
 |
| Mratibu kutoka VICONET Bi Happy Francis akikabidhiwa miche ya mikorosho iliyotolewa na mkuu wa mkoa . |
 |
| Picha ya pamoja na staff ya Radio Standard Fm 90.1 Singida Mkurugenzi na mkuu wa mkoa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida . |
 |
| Dr Rehema Nchimbi akiondoka katika viwanja hivyo vya Uhasibu baada ya kuongea na kinamama huku akitoa wito kupanda mikorosho na kukabidhi miche ya mikorosho. |
 |
| Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Debora Magiligimba |
Kamanda wa jeshi la polisi
Mkoani Singida Debora Magiligimba, amewataka wanawake kutoa taarifa za vitendo
vya ukatili vinavyofanywa na baadhi, ya
wanaume katika familia.
Magiligimba ameyasema hayo
leo mchana wakati akitoa salaam katika tamasha la mwanamke wa nguvu, lililoandaliwa na Standard Radio na
kufanyika katika ukumbi wa chuo cha TIA
Singida.
Amesema kwa wanawake kutoa
taarifa katika dawati la jinsia na watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ,kutapunguza
vitendo hivyo.
Kwa upande mwingine Kamanda
Magiligimba ametumia Fursa hiyo kuwataka wanaume kutofanya vitendo hivyo,
badala yake waelekeze nguvu zao katika shughuli za kuinua kipato kwa familia.
Tuandikie Maoni Yako Hapa
0 Comments