MATUKIO YA PICHA ZA ZOEZI LA KUKIJANISHA SINGIDA LA HITIMISHWA LEO CHINI YA URATIBU WA STANDARD FM SINGIDA

Mkuu wa wilaya ya Singida Bw Elias Tarimo akipata maelezo mafupi kabla ya kuanza upandaji wa miti katika  chanzo cha maji kilichopo katika  kijiji cha Msange  wilaya ya Singida.
Mkuu wa wilaya ya Singida Bw Elias Tarimo akiongea na wananchi .

Ni shamba la kilimo cha umwagiliaji wa shamba la Vitungu lililopo katika chanzo hicho cha maji katika kijiji cha Msange .






Emanuel Mlelekwa wa Standard fm akipanda mti.
Cales Katemana wa Standard fm na Miliki wa Blog hii akipanda mti.
Mkurugenzi na mmiliki wa Radio Standard fm Bw James Daudi akishiriki katika zoezi hilo la upandaji wa miti zoezi hilo limefanyika katika wilaya zote mkoani Singida Likianzia Ikungi,Iramba,Mkalama,Manispaa ya Singida Mjini na Singida vijijini.
Mkuu wa wilaya akiongea na wakulima baada ya kupanda miti.
Poz la Picha ya pamoja na wananchi.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments