| Mkuu wa wilaya ya Singida Bw Elias Tarimo |
Mkuu wa wilaya ya singida Elias john tarimo
amelipongeza shirika la sido mkoani hapa kwa kusimamia kikamilifu na kuunga
mkono sera ya awamu ya tano inayolenga kuendeleza viwanda hapa nchini.
Tarimo ametoa kauli hiyo wakati akimuwakilisha mkuu wa mkoa wa singida
dr Rehema nchimbi katika ufunguzi wa warsha ya siku mbili kuanzia leo hadi
kesho march 27 inayowajumuisha wakulima wa alizeti na usindikaji yani kongano
ilyofanyika katika ofisi ya jengo la ukaguzi mkoa.
| Meneja wa Sido mkoa wa Singida Shomi Kibende |
Kwa upande wake meneja wa sido mkoa wa singida
bi shoma kibende amesema lengo la kongano hilo ni kuweka ulewa wa pamoja katika
kongano mbili zilizopo katika mkoa wa singida.



0 Comments