ZIARA YA MISS SINGIDA 2016 LISSA ADAM MTAA WA UTEMINI

Miss Singida Lissa Adamu atembelea familia zinazoishi katika maisha magumu katika kata ya Utemini na kutoa msaada wa chakula.

Baada ya kutoa msaada wa Sukari,sabuni,unga wa sembe n.k. picha ya pamoja na familia


Miss Singida Lissa Adamu alitoa msaada huo kwa zaidi ya familia 8 katika  kata hiyo ya utemini.
Kinywaji cha asili ya kabira ya Wanyaturu ni Mtukuru.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments