| Omary kinyeto Diwani wa kata ya kindai |
| Wambele ni meya wa manispaa ya Singida Mh Mbua chima |
| Madiwani wa Singida Dc wakiwasili uwanjani Namfua |
| Meya wa manispaa ya singida Mh Mbua chima akisalimiana na diwani wa Singida Dc kabla ya mchezo baada ya kuwasili |
| Mbunge wa Singida mjini Mussa sima akiingia Namfua |
| madiwani wa manispaa Singida |
| madiwani wa Singida Dc |
| mchezo huo ulimalizika kwa madiwani wa manispaa ya Singida kushinda 1-0 |
| kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida Elias Tarimo. |



0 Comments