POLISI SINGIDA YAKAMATA MADAWA YA KULEVYA






Jeshi la polisi  mkoani Singida limefanikiwa kuwatia mbaloni wauzaji wa madawa ya kulevya aina ya Kokeini  huku wakikamatwa na  gramm mbili za madawa hayo.

Kamanda wa polisi mkoa Singida Peter kakamba akitoa ufafanuzi juu ya madawa hayo.





Waandishi wa habari wakipokea taarifa kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa .

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments