MAANDALIZI YA TIMU YA MAJENGO QUEENS YA MKOA WA SINGIDA YA PAMBA MOTO




kocha wa timu ya Majengo queens Mohamed kweka akisimamia viliyo maandalizi ya timu hiyo ambayo inajiandaa na ligi kuu ya wanawake taifa inayotarajia kuanza  kati ya oct 6  zoezi la usajili linaendelea mpaka sasa jumla ya wachezaji 24 wamekwisha sajiliwa.






Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments