LIGI DARAJA LA KWANZA KUTIMUA VUMBI KATIKA DIMBA LA NAMFUA SINGIGA RC ENG M.MTIGUMWE MGENI RASIMI



Ligi daraja la kwanza Tanzania bara inategemea kuanza rasmi kesho katika viwanja mbalimbali hapa nchi huku timu balimbali zikiwania kusaka pointi tatu muhumu ilikujiweka katika hali nzuri.

Mkoani Singida wawakilishi wa mkoa Singida United wataingia uwanjani hapo kesho katika uwanja wa Namfua kukipiga na mgambo JKT kutoka Tanga.

Mpaka sasa maadalizi ya mchezo huo yamekamilika asilimia tisini ambapo kiingilio katika mchezo huo ni Sh,2000kwa watu wazima huku watoto ni sh,500 magari ni sh,1000na pikipiki ni sh500.


Joni Willium nikocha mkuu wa timu ya Mgambo JKT ameongea na kipindi hiki kuhusiana na maandalizi ya timu yake dhidi ya Singida United hapo kesho.


Mgambo jkt wakijifua jioni ya leo sep 23 katika dimba la Namfua






basi la Mgambo Jkt kutoka Tanga 

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments