CHAMA CHA WAAMUZI MANISPAA YA SINGIDA (FLAT) CHA PATA UONGOZI MPYA 2016





Chama cha waamuzi wilaya ya Singida manispaa kimefanya uchaguzi wake leo hii katika ukumbi wa chama cha waalimu CWT jumla ya wajumbe waliyo shiriki katika uchaguzi huo uliyo simamiwa na Albati kasoga (katikati).
Bw james kitila akiomba kura kwa niaba ya mgombea wa nafasi ya m/kiti 
Anord bugado ambaye alimwomba kumwakilisha baada ya kuwa na majukumu


Abdala mwinyimkuu akiomba kura katika nafasi ya makamu m/kiti


Bw Hassan kingu akiomba kura nafasi ya katibu msaidizi 
Shaban msangi akiomba nafasi ya uwakilishi ngazi ya mkoa wa Singida.

Bi Waziri akiomba kura ya uwakilishi wa waamuzi wa kinamama


              


wajimbe wakipiga kura.



Bw Albati kasoga msimamizi wa uchaguzi huo akisoma matokeo ya uchaguzi huo wa (FLAT)
M/kiti ni Anord bugado amepata kura zote 12

makamu ni Abdala mwinyi mkuu kura za ndiyo  12 moja ndiyo hapana.

katibu mkuu ni Siachitema kawinga kura  12 na moja hapana.

katibu msaidizi kura Hassn kingu 12  hapana 1.

mweka azina Meshaki isuda 12 na hapana 1.

mwakilishi mkutano mkuu wa mkoa Shabani msangi kura 13 hapana 0.

mjumbe wanawake Waziri kura 13 hapana 0.







Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments