WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITAL WILAYA YA KASKAZINI "B"


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi katika Hospitali hiyo
.

                                         
                                                    Muonekano wa Hospitali hiyo na mandhali yake kwa nje.



                                             Waziri mkuu akikagua jengo hilo na vifaa vya kisasa vilivyowekwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2024 ameweka jiwe la msingi kwenye Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini “B”- Pangatupu iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja, ujenzi wa hospitali hiyo umegharimu shilingi bilioni 6.7. Tukio hili ni sehemu ya shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments