Mrajisi masidizi mkoa wa Singida Bw Thomas nyamba akiwakalibisha wadau wa sekta ya kilimo ukumbini.
|
Mwakilishi Azania bank Bw Godwin seia akielezea mpango mkakati wa utoaji mikopo kwa wakulima na namna ya kupatamikopo kupitia Amcos na Saccos
|
Meneja wa NSSF tawi la Singida Bi Mwampesya akifafanua jambo juu ya kujiunga na NSSF na upataikanaji wa mikopo kwa wakulima.
|
Bi Rehema chuma meneja wa NSSF Dodoma na kiongozi wa msafara wa wawezeshaji wa mpango wa uhamasishaji wakulima mkoa wa Singida.
|
Bi Grace mwangende kutoka tume ya maendeleo ya ushirika ofisi ya mrajisi wa vyama vya ushirika Tanzania Dodoma.
|
Steve kubena kutoka bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko akifafanua jinsi bodi inavyofanya kazi zake huku ikitilia mkazo mazao ya maindi na alizeti.
|
Bw Iddi mnyampanda kutoka Mtinko Singida Dc akiuliza swali juu ya utoaji wa elimu kwa wakulima vijijini.
|
Bi Khadija magee akiuliza swali meza kuu.
|
0 Comments