| Riadha ya mita 100 mshindi 2 mbuzi wazee wa kazi ni katika viwanja vya Mandewa. |
| wakimaliza mita 100 |
| Riadha mita 400 ni mchanganyiko wamaumw kwa wanawake. |
| Mshindi wa kwanza kwa wanaume |
| Wanawake wakimaliza mita 400 |
| Polisi wakifanya dolia . |
| Mkuu wa wilaya Elias Tarimo katikati kushoto Mh Mussa Sima mbunge wa Singida kushoto Mdhamini wa mashindano hayo Bw MICO. |
| Veteran Singida wakikaguliwa na mgeni Rasimi Edwin Agai akipeana mikono na mkuu. |
| Kisuke mchezaji wa JKT RUVU pamoja na kuonyesha uwezo wa juu lakini gemu lilimalizika kwa 1-1 na kushindwa kwa matuta. |
| Mzee mzima Supertanza Edwin Agai akionyesha ufundi wake. |
| Mkurugenzi wa MICO CENTER Dr Ryoba akiongea na wapenzi wa soka. |



0 Comments