| kaimu kamanda wa polisi SSP M.S.TOWO akitoa taarifa kwa nyombo vya habari ofisini kwake. |
| Hayati Kulwa mathia mapera (19) wakati wa uhai wake ni mwanachuo cha utumishi wa umma mwaka wa kwanza kampas ya Singida |
| Hostel kwanje ya ukuta katika enero la tukio |
| Mbele ya Hostel |
| Ofisini kwa meneja wa Tanesco mkoa Singida wanahabari wakitafuta ufafanuzi juu ya tukio. |
| Bw khatibu saidi mmiliki wa hostel akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya kifo cha mwanafunzi huyo. |
| Eneo hilo lenyewavu ndiyo alioangukia marehemu baada ya kunaswa na umeme huku mvua ikinyesha |



0 Comments