MVUA KUBWA YASABABISHA KIFO SINGIDA

kaimu kamanda wa polisi SSP M.S.TOWO akitoa taarifa kwa nyombo vya habari ofisini kwake.
Hayati Kulwa mathia mapera (19) wakati wa uhai wake ni mwanachuo cha utumishi wa umma mwaka wa kwanza  kampas ya Singida
Hostel kwanje ya ukuta katika enero la tukio
Mbele ya Hostel
Ofisini kwa meneja wa Tanesco mkoa Singida wanahabari wakitafuta ufafanuzi juu ya tukio. 

Bw khatibu saidi mmiliki wa hostel akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya kifo cha mwanafunzi huyo.

Eneo hilo lenyewavu ndiyo alioangukia marehemu baada ya kunaswa na umeme huku mvua ikinyesha



Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments