kisima chenyewe kilicho chimbwa kitambo na serikali kwaajili ya wakazi wa maeneo hayo ya mji wa manyoni ambacho kipo katika uzio wa nyumba hiyo, mkuu wa wilaya ya manyoni mh Geoffrey mwambe alipoulizwa juu ya tukio hilo amesema kwamba taarifa juu ya kisima hicho amekwisha ipata na amewaagiza wataalamu wa mambo ya aridhi wilayani humo kumpa taarifa ya kina juu ya eneo hilo la kisima. |
0 Comments