Leigwanan Aisack Lekisongo Tuliiomba serikali kupitia Edward Lowassa itupatie Elimu kwanza ili kujenga kizazi bora kitakacho endeleza mila na desturi ya jamii ya kimasai na tulifanikiwa kwa hilo.
Kikao kizito kikiongozwa na mkuu wa jamii ya kimasai au mungu wa mila yao Leigwanan Aisack Lekisongo Meijao kujadili juu ya mazishi ya kijana wao.
Leigwanan Mkuu Aisack Lekisongo Meijao mkuu Jamii ya Wamasai Tanzania ni Mungu alitupati Lowassa kama kwani alikuwa msaada mkubwa kwetu, kama inavyofahamika jamii ya wamasai wanaishi katika mikoa 14 Tanzania na wengi wao wakaendelea kujifunza na kupenda kusoma baada ya yeye kuiomba serikali kuipa jamii hii kipaumbele haswa katika masuala ya Elimu.
"Lowasa aliitambua jamii ya Wamaasai ina umasikini mkubwa hivyo yeye aliamua kuiomba serikali jamii hiyo ipewe kipaumbele haswa kwenye masuala ya Elimu kwa wale waliomaliza kidato cha nne kujiunga na chuo cha waalimu hadi sasa wengi wao wanawafundisha watoto na wajukuu zetu"
Meijo amesema kuwa hayati Lowassa wao kama viongozi wa jamii ya wamaasai
wanasema kuwa hajafa bali amelala,,amesema Edward alikuwa Leigwanan ambapo yapo
majina ambayo waliweza kumpatia ikiwemo IRMAKAA,ILKLSHIMU,ILTOIP hii yote ni
kutokana na kushiriki shughuli zote za kimila kwa heshima kubwa na alikuwa hana
ubaguzi jamani kwetu ni pengo kubwa,lala Shujaa.
0 Comments