Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala Wa Mabasi Mkoa wa Singida Msafiri Ndui akisain kitabu cha wageni katika
Picha ya kumbukumbu baada ya kusaini kitabu cha wageni.
Baada ya kusaini kitabu cha wageni wakipiga picha na Afisa Utumishi wa Halmashauri ya hiyo.Barabara ya kwenda kwa Mhe Merry Nagu kiijini Jorodon
Wajume na Viogozi wa Umoja wa Mawakala wakitazama eneo la kitongoj cha Joromon lilivyo athilika na Maporomoko hayo.
Bonde la chanzo cha maji katika kijiji cha Jorodon.
Umoja wa Mawakala wa
Mabasi ya abiria yanayofanya safari za mikoani stendi kuu Misuma Singida mjini
umetembelea wilaya ya Manyara katika Halmashauri ya Hanang Katesh mjini kwa
lengo la kuunga mkono kauli ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alipofika wilayani
hapo baada ya mafuliko yaliyo sababishwa na mvua kubwa iliyoleta maafa
makubwa na kusababisha vifo na wengine kupoteza makazi yao.
Mwenyekiti wa Umoja huo Msafiri Ndui Akiongea na wanahabari katika kitongoji cha Jorodon amesema kuwa wao kama umoja wa Mawakala wa Mabasi Misuna Singida wanatoa pole kwa ndugu na jamaa waliyopoteza mali zao katika maafa hayo na kuchangia mifuko amsini (50) ya Saruji kwajili ya Ujenzi wa nyumba za makazi kwaajiri ya waathirika wa janga hilo.
0 Comments