Washindi wa tuzo za Caf 2023.

 


Mchezaji Bora wa Mwaka (wanaume): Victor Osimhen (Napoli & Nigeria)

Mchezaji Bora wa Mwaka (wanawake): Asisat Oshoala (Barcelona & Nigeria)

Kocha Bora wa Mwaka (wanaume): Walid Regragui (Morocco)

Kocha Bora wa Mwaka (wanawake): Desiree Ellis (Afrika Kusini)

Timu ya Taifa ya Mwaka (wanaume): Morocco

Timu ya Taifa ya Mwaka (wanawake): Nigeria

Kipa Bora wa Mwaka (wanaume): Yassine Bounou (Al Hilal & Morocco)

Kipa Bora wa Mwaka (wanawake): Chiamaka Nnadozie (Paris FC & Nigeria)

Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka (wanawake): Nesryne El Chad (Lille & Morocco)

Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka (wanaume): Lamine Camara (Metz & Senegal)

Klabu Bora ya Mwaka (wanawake): Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini)

Klabu Bora ya Mwaka (wanaume): Al Ahly (Misri)

Mchezaji Bora wa Mwaka wa Interclub (wanawake): Fatima Tagnaout (AS FAR & Morocco)

Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu (Wanaume): Percy Tau (Al Ahly & Afrika Kusini)

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments