Mchezaji Bora wa Mwaka (wanaume): Victor Osimhen (Napoli & Nigeria)
Mchezaji Bora wa Mwaka (wanawake): Asisat Oshoala (Barcelona & Nigeria)
Kocha Bora wa Mwaka (wanaume): Walid Regragui (Morocco)
Kocha Bora wa Mwaka (wanawake): Desiree Ellis (Afrika Kusini)
Timu ya Taifa ya Mwaka (wanaume): Morocco
Timu ya Taifa ya Mwaka (wanawake): Nigeria
Kipa Bora wa Mwaka (wanaume): Yassine Bounou (Al Hilal & Morocco)
Kipa Bora wa Mwaka (wanawake): Chiamaka Nnadozie (Paris FC & Nigeria)
Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka (wanawake): Nesryne El Chad (Lille & Morocco)
Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka (wanaume): Lamine Camara (Metz & Senegal)
Klabu Bora ya Mwaka (wanawake): Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini)
Klabu Bora ya Mwaka (wanaume): Al Ahly (Misri)
Mchezaji Bora wa Mwaka wa Interclub (wanawake): Fatima Tagnaout (AS FAR & Morocco)
Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu (Wanaume): Percy Tau (Al Ahly & Afrika Kusini)
0 Comments