Jumla ya Hecta 6000 zimetenga katika mkoa wa Singida kwa lengo la kujenga viwanda
mbalimbali ili kufikia dhima
ya serikali ya viwanda
Akitoa
taarifa kwa kamati ya
bunge biashara viwanda na
mazingira katibu tawala mkoa wa Singida Dr Angelina Lutambi amesema lengo la kutenga hekta hizo ni kuunga mkono jitihada za serikali kuelekea uchumi wa kati
Amesema tayari
halmashauri zote za mkoa wa Singida zimetenga maeneo ni rafiki kwa uwekezaji huo
Aidha akisoma
taarifa ya utekelezaji wa
kazi zao
meneja wa SIDO mkoa wa Singida Bi
Shoma Kibende amesema wao wameendelea kuhamasisha wananchi juu
ya ujenzi wa viwanda.
0 Comments