watumishi wa serikali kinamam wakichuana kuvuta kamba katika bonanza hilo la kila wiki ya pili ya mwezi kimkoa ufanyika viwanja vya mwenge sec.
|
kinamama wa Jeshi la magereza katika kamba. |
upimaji wa afya pia unafanyika baada ya mazoezi hayo. |
mashindano ya kufukuza kuku hapo mkuu wa wilya ya Singida Elias tarimo akimkabidhi afisa michezo manispaa Sam mwaikenda zawadi ya kuku baada ya kushinda.
|
kinamama wakikimbiza kuku |
viongozi wa meza kuu nao wakimbiza kuku mwenye track suti ya bendela ya taifa ni mkuu wa wilaya.
|
mgeni rasimi katibu mkuu wa BMT Mohamed kiganja akijalibu kukamata kuku |
polisi,zimamoto,magereza na mgambo katika shindano la kukamata kuku. |
mkuu wa wilaya ya Singida Elias tarimo akizungumza na watumishi waliyouzulia katika wiki ya mazoezi.
|
mgeni rasimi katibu mkuu wa BMT akiongea baada ya michezo yote kukamilika. |
0 Comments