Das Singida Naima Chondo (katikati)aongoza maandamano ya wiki ya Sheria nchini.
Watumishi wa Mahakama na wadau wa mambo ya kisheria Mkoani Singida wakiwa katika maandamano kuashiria Uzinduzi wa wiki ya Sheria.
Das Singida Naima Chondo akikata utepe wa kuzindua utoaji Elimu juu ya maswala ya Kisheria na Mahakama.
Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa Singida Alu Nzowa akitoa taarifa juu ya umuhimu wa Haki jinai.
Mgeni Rasimi Naima Chondo akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Singida baada ya kupokea Maandamano.
Mtaalamu wa mambo ya kijamii kutoka Dawati la Polisi akitoa maelezo juu ya changamoto wanazokutananazo.
Taasisi ya kupambana Rushwa Nchini PCCB Mkoa Singida nao wakitoa Maelezo mafupi kwa mgeni Rasimi.
Mahakimu,Mawakili,na wadau mbalimbali wakifuatilia matukio katika viwanja vya ofisi ya Hakimu mfawidhi mjini Singida.
Mgeni Rasimi Katibu tawala Wilaya ya Singida akiongea katika kituo cha watoto yatima kilichopo Manguamitogho kabla ya kukabidhi Msaada katika kituo hicho mjini Singida.
Wakikabidhi Msaada huo katika kituo hicho cha Upendo.
Baada ya kukabidhi Msaada huo sasa ni picha ya kumbukumbu.
Imeelezwa kuwa kukosekana kwa Mfumo Jumuishi wa Haki Jinai nchini umesababisha Ucheleweshaji wa Haki na Kuchukua Muda mrefu wa kuendesha Kesi Mahakamani na kusababisha Wananchi kushindwa kufanya shughuli za maendeleo.
Nafasi ya Mahakama na Wadau katika Kuboresha Mfumo Jumuishi wa
Haki Jinai".
0 Comments