WASAIDIZI WA KISHERIA WATAKIWA KUONGEZA ELIMU KWA WANANCHI

Katibu tawala wilaya ya Singida Bw Wilson Shimo akiongea katika uzinduzi wa bodi ya  wasaidizi wa kisheria manispaa ya Singida WASS uliyofanyika katika ofisi za wasaidizi hao zilizopo katika jengo la CDTF Msufini Singida mjini.

Bodi hiyo ikikabidhiwa mwongozo na mgeni rasimi katibu tawala wa wilaya ya Singida Bw Wilson Shimo.
Piacha ya pamoja Bodi na mgeni rasimi nje ya ofisi ya WASS
Picha ya pamoja na viongozi wa dini ya kislam 
Picha ya pamoja Bodi mpya na watendaji wa ofisi hiyo ya wasaidizi wa kisheria  WASS.
Wageni waalikwa kutoka Taasisi mbalimbalina wadau wa wasaidizi hao wa kisheria  WASS
Bw Pasco Tantau katibu na mratibu wa wasaidizi wa kisheria WASS katika picha.

Vituo vya msaada wa kisheria vimetakiwa kuongeza jitihada katika kutoa elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi ili kujenga jamii imara na yenye uelewa kuhusu masuala la kishearia.


Akiongea katika uzinduzi wa bodi ya shirika la wasaidizi wa kisheria manispaa ya singida katibu Tawala wilaya ya Singida Bw,Willison Shimo amesema suala wanalolifanya nijema kwa masilahi ya taifa.

Bw, Shimo amesema wananachi wakiwa na uelewa wa sheria kutasaidia kutekeleza maagizo na sera mbalimbali zinazo tolewa na serikali kwaajili ya kueleta maendeleo
Awali akisoma risala mbele ya mgeni rasmi katibu mtendaji wa Shirika hilo Bw  Paschal Tantau  amesema shirika hilo linatoa msaada ya kisheria bila malipo kwa wakazi wote wa manispaa ya singida .
Amesema wao kama wasaidizi wa kisheri wamejikita katika kuwasaidia akina mama pamoja na watoto

Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments