Baada ya Mafanikio akiwa na kikosi cha Dar es Salaam Young Afrikan tetesi zimeanza kuibuka kuwa kinara wa mabao wa timu hiyo na liogi kuu NBC PREMIER Bara Azizi ki anaweza kujiunga na wafalme wa soka nchini Afrika kusini Orlando Piretes Baada ya Ukurasa wa Instegram wa @blaque uncle wa mwandishi wa Afrika kusini umechapisha tetesi ya Azizi ki kuhusioshwa na Timu hiyo ya Afrika kusini.




0 Comments