BEI YA MBUZI MNYAMA YAPANDA SINGIDA

Singida ni mkoa ambao biashara ya mbizu ufanyika sana katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu, ambapo mbuzi mmoja huuzwa kwa shilingi 30000-40 lakini bei hiyo imeongezeka kutoka 40000 mapaka elfu 60000 kwa mbuzi mmoja wakati huu wa x mass na mwaka mpya.

Mbuzi wakiwa  tayali kwa mnada hapo ni mnada wa Manyoni

Mfugaji akiwa mnadani baada ya kuuza mbuzi wake.



Tuandikie Maoni Yako Hapa

Post a Comment

0 Comments