Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Adolf H. Ndunguru akiwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (TAMISEMI), Sospeter M. Mtwale, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu), Dkt. Charles Msonde, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya) Dkt. Wilson Mahera na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (Miundombinu) Mhandisi Rogatus Mativila wakifuatilia uwasilishwaji Bungeni wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa Mwaka wa Fedha 2024/25, Bungeni jijini Dodoma. Leo Aprili 16, 2024.
0 Comments