Na Mwandishi wetu - Singida DC
Zaidi ya shilingi mili 88 zimetumika katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maji katika wilaya Singida Kaskazini hikiwa ni kwa Hisani ya Taasisi ya Rehema Faundatin ya nchini Uturuki taasisi kwa kushirikiana na Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhani Ighongo,miradi hiyo ya maji iliyojengwa katika kata nne za Kinyamwenda,Makhandi,Makuro na Itamka.
Akiogea
katika uzinduzi wa kituo kipya kilichopo katika kijiji cha Itamka kata ya Mrama
BI Zainabu Ghamze amesema kuwa “UMUDA
KONSANLAR "ni umoja wa mashirika yaliyopo nchini Uturuki yenye lengo la kutoa
misaada kwa jamii mbalimbali tumefurahi sana kuwa hapa leo”.
Naye
naibu waziri wa maji Muhandisi Meryprisca Mahundi akiongea baada ya uzinduzi wa
kisima hicho cha Itamka katika mkutano wa hadhala uliyofanyika katika shule ya
msingi Itamka pamoja na kuipongeza taasisi ya UMUDA KONSANLAR ya Uturuki pia amewataka wanchi kuitunza
miundombinu hiyo ya maji kwani ni urithi wa vizazi vijavyo pia, “ niwaombe wakazi na wanchi wa vijiji vyote
vinavyo jengewa miradi ya maji wilayani hapa na kwingineko kwa ujumla kuitunza
miradi hiyo kwani ni urithi wetu wa vizazi vijavyo kwani miradi hiyo inatumia
fetha nyingi sana.
Awali akimkaribisha naibu waziri wa maji kuongea na wananchi wa kijiji hicho kuongea mbunge wa jimbo hilo la Singida kaskazini ameiomba serikali kupitia wizara yake kusaidia usambazaji wa maji hayo kutoka katika DP hiyo yenye uwezo wa kutoa maji kwa saa moja lita miasaba hamsini ili kuweza kusaidia wananchi wa maeneo mengine ya karibu na kisima hicho chenye huwezo mkubwa wa kutoa maji.
0 Comments