
Kichuya aliisadia Simba kwa kufunga magoli na kusaidia magoli mengine
kufungwa. Alifunga mabao matatu katika mechi mbili kati ya nne alizocheza.
Umekuwa ni utamaduni wa Simba kutoa tuzo ya mchezi bora kila mwezi
ambapo wachezaji hupigiwa kura na mashabiki wa timu hiyo.
Mbali na tuzo hiyo, Kichuya pia alitangazwa mchezaji bora wa mwezi kwa
upande wa ligi kuu Tanzania bara.
0 Comments